Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kila la heri Taifa Stars leo

Jumamosi , 15th Jul , 2017

Kocha wa Taifa Stars, Salum Mayanga, amesema kikosi chake kitaivaa Rwanda (Amavubi) bila kujali rekodi ya matokeo waliyopata katika mechi zilizopita hivi karibuni kwenye michuano ya Kombe la COSAFA.

Kikosi cha Taifa Stars

Akizungumza jana, Mayanga alisema amekiandaa vyema kikosi chake kuhakikisha leo wanaanza vyema safari ya kusaka tiketi ya kucheza fainali zijazo za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN).

Mayanga aliendelea kusema kuwa kikubwa katika mazoezi alikuwa anawajenga wachezaji kiakili na kujipanga kutowadharau wapinzani wao ambao nao wanataka kupata matokeo mazuri ugenini.

"Tunashukuru tumemaliza mazoezi ya mwisho asubuhi hii (jana asubuhi) kazi kubwa ya benchi la ufundi lilikuwa pia kuondoa uchovu walioupata katika mechi zilizopita na pia tumewaandaa wachezaji kuikabili Rwanda bila ya kuwa na kumbukumbu ya historia ya mechi zilizopita, tunajua Rwanda ina wachezaji wenye kasi na wenye morali ya kijeshi," alisema Mayanga.

Kwa mujibu wa Mayanga kikosi chake hakina majeruhi hata mmoja, huku nahodha Himid Mao, akisema kila mchezaji amejiandaa kupambana kwa ajili ya kusaka ushindi katika mechi ya leo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava