Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kambale arejea na kuiokoa Singida

Jumamosi , 17th Feb , 2018

Baada ya kusimamishwa kwa utovu wa nidhamu nyota wa kimataifa wa klabu ya Singida United, Papy Kambale hatimaye leo amerejea kikosini na kuichezea timu hiyo kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya Kagera Sugar.

Pamoja na kurejea leo Kambale ameibuka shujaa wa Singida United, baada ya kusawazisha bao na kuiwezesha timu hiyo kuondoka na alama moja kwenye mchezo uliomalizika jioni hii kwenye uwanja wa Kaitaba Bukoba.

Katika mchezo huo wa ligi kuu raundi ya 19, Kagera Sugar ndio ilikuwa ya kwanza kupata bao dakika ya 33 kupitia kwa nyota wake Mohamed Fakhi kabla ya Kambale kusawazisha dakika ya 49.

Nyota huyo raia wa DR Congo alisimamishwa na klabu yake mapema mwezi uliopita baada ya kufanya kosa la kumpiga mchezaji wa Green Worriors kwenye mchezo wa Kombe la shirikisho.

Baada ya sare ya leo Singida United imeendelea kusalia katika nafasi ya nne ikiwa na alama 34 nyuma ya Azam FC yenye alama 35 nafasi ya tatu, Yanga yenye alama 37 nafasi ya pili na Simba yenye alama 42 kileleni.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava