Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Joash Onyango atamba kuelekea kariakoo Derby

Jumanne , 4th Mei , 2021

Beki  wa kati  Klabu ya  Simba Joash Onyango  wameweka wazi kwamba watapambana kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Mei 8, Uwanja wa Mkapa.

Mlinzi wa kati wa klabu ya Simba, Joash Onyango akiwa mazoezini.

Nyota huyo ambae ni raia wa kenya,Joash   amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo huo ambao unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa huku akisema mchezo  utaonesha taswira nzima ya kutetea ubingwa wao VPL. 

"Kwetu sisi kila mchezo ni muhimu na kikubwa ni kuona kwamba tunapata pointi tatu muhimu lakini naamini kwa namna ambavyo tumejiandaa kwanzia sisi wachezaji hivyo mashabiki waje kwa wingi".

Mchezo wao wa kwanza walipokutana Uwanja wa Mkapa, ubao ulisoma Yanga 1-1 Simba hivyo Mei 8 utakuwa ni mchezo wa kusaka ushindi ili kujenga ufalme katika kusaka ubingwa wa ligi.

Simba ipo nafasi ya kwanza ikiwa na pointi 61 baada ya kucheza mechi 25, Yanga ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi 57 baada ya kucheza mechi 27 hivyo mshindi wa mchezo huo atakuwa anajenga mazingira ya kuelekea ubingwa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava