Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Idadi ya watoto anaotaka Ronaldo

Ijumaa , 17th Nov , 2017

Staa wa Real Madrid Cristiano Ronaldo amesema anataka kushinda tuzo saba za Ballon d'Or pamoja na kupata watoto saba.

Ronaldo amefanikiwa kupata mtoto wa 4 wiki hii baada ya mpenzi wake Georgina Rodriquez kujifungua mtoto wa kike ambaye amepewa jina la Alana Martina.

Alana Martina ametanguliwa na kaka zake watatu ambao ni Cristiano Jr pamoja na wengine wawili ambao ni mapacha waliozaliwa mwanzoni mwa mwaka huu.

Ronaldo mwenye miaka 32 amesema “Nataka kuchukua tuzo za Ballon d’Or mara saba pamoja na kupata watoto saba, nina uhakika hilo litatimia kwasababu nina umri wa miaka 32 na bado najihisi kuwa mwenye nguvu”, amesem Ronaldo.

Hadi sasa Ronaldo amefanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa FIFA mara mbili mfululizo akimshinda mpinzani wake Lionel Messi. Ronaldo bado anapewa nafasi kubwa ya kushinda tuzo ya Ballon d’Or 2017 kutokana na mafanikio ambayo ameyapata msimu uliopita akichukua ubingwa wa La Liga pamoja na UEFA.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava