Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hamilton na Vettel wapigwa chini 'Formula One'

Jumamosi , 26th Mei , 2018

Waendesha magari Lewis Hamilton wa Mercedes na Sebastian Vettel wa Ferrari watalazimika kuanzisha gari zao katika nafasi ya pili na tatu, kwenye mbio za MonacoGP kesho, baada ya Daniel Ricciardo wa Red Bull kushinda nafasi ya kwanza.

Daniel Ricciardo ameongoza mbio za majaribio katika mitaa ya jiji la Monaco jioni hii, hivyo kesho kwenye mbio kuu katika mji huo, gari yake itakuwa ya kwanza akifuatiwa na Vettel aliyeshika nafasi ya pili.

Muingereza Lewis Hamilton ambaye ndio mshindi wa mbio zilizopita za Hispania katika jiji la Barcelona atapanga gari yake katika nafasi ya tatu. Nafasi ya nne imeshikiliwa na Dereva mwingine wa timu ya Ferrari Kimi Raikkonen.

Dereva mwingine wa timu ya Red Bull, Max Verstappen, amepata ajali kwenye mbio hizo za majaribio, hivyo kushindwa kuendelea lakini kampuni yake imeahidi kushughulikia gari yake ili kesho aweze kushiriki Monaco Grand Prix.

'Formula One' maarufu kama Langalanga, zipo kwenye mji wa 6 kati ya 21 ya msimu huu. Hadi sasa msimamo unaongozwa na Mercedes kupitia kwa Hamilton mwenye alama 95 akifuatiwa na timu ya Ferrari kupitia kwa Vettel mwenye alama 78.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava