Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hamilton kutwaa ubingwa wa dunia leo ?

Jumapili , 22nd Oct , 2017

Dereva wa Mercedes Lewis Hamilton huenda leo akaibuka bingwa wa mbio za magari duniani Formula1 endapo atashinda kwa pointi nyingi kwenye mbio za leo nchini Marekani (USGP).

Hata hivyo Hamilton ana nafasi ya kufanya hivyo baada ya kujihakikishia nafasi ya kwanza kwenye mpangilio wa magari wakati wa mbio hizo. Mkali huyo wa gia kutoka nchini Uingereza ameongoza mbio za kusaka nafasi kwenye kupanga magari ambapo sasa leo ataanza wa kwanza.

Mpinzani wake wa karibu Sebastian Vettel kutoka timu ya Ferrari amemaliza wa pili hivyo gari yake itasimama kwenye nafasi ya pili wakati wa mbio za USGP leo akifuatiwa na gari ya Valtteri Bottas wa Mercedes ambaye atakuwa wa tatu.

Mbio zitafanyika jioni ya leo kwenye mitaa ya Austin jijini Texas Marekani. Hadi sasa Lewis Hamilton anaongoza mbio hizo akiwa na alama 306 mbele ya Sebastian Vettel mwenye pointi 247.

Baada ya mbio za leo za USGP zitakuwa zimebaki mbio 3 ili kumaliza msimu wa 2017 ambazo ni Mexico Grand Prix, Brazilian Grand Prix na Abu Dhabi Grand Prix.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava