Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Hakuna sherehe za ubingwa, Chelsea- Tuchel

Jumamosi , 15th Mei , 2021

Kocha Thomas Tuchel amewaambia wachezaji wake wa Chelsea hakutakuwa na wakati wa kusherehekea ikiwa wataifunga Leicester City katika fainali ya Kombe la FA leo, kwa sababu lazima waanze mara moja maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya wapinzani hao hao utakao chezwa Jumanne Mei 18, 2021

Thomas Tuchel

The blues wana nafasi ya kutwaa ubingwa wa kwanza chini ya kocha huyo raia wa Ujerumani ambaye alijiunga na kikosi hicho mwezi Januari mwaka huu akichukua nafasi ya Frank Lampard, lakini bado kikosi hicho hakijajihakikishia nafasi ya kumaliza kwenye nafasi nne za juu kwenye msimamo wa ligi kuu nafasi ambayo itawapa tiketi ya kushiriki michuano ya klabu bingwa ulaya msimu ujao.

kuelekea Michezo miwili inayofuata dhidi ya Leicester City mmoja ukiwa ni wa fainali ya kombe la FA leo usiku na mwingine wa Ligi Kuu siku ya Jumanne Mei 18 2021, kocha Thomas Tuchel amesema,

"Hakuna sherehe, hakuna sherehe zilizopangwa. Hizi ni nyakati maalum ikiwa tutashinda hakuna kilichopangwa, ni karibu sana tutacheza tena Jumanne. Hali katika ligi hairuhusu sisi kusherehekea, tuna fainali mbili zinazokuja na tunataka kushinda zote mbili. leo itakuwa na athari kubwa mwilini na tunahitaji kuwa tayari Jumapili kufanya kikao kizuri cha kupona na Jumatatu kujiandaa na michezo ijayo, ikiwa kuna sherehe, tunahitaji kuwachelewesha kidogo."

Kipigo cha bao 1-0 walichokipata Cheslea dhidi ya Arsenal na ushhindi wa bao 4-2 walioupata Liverpool dhidi ya Manchester United unaifanya Chelsea kuwa na tofauti ya alama 4 tu dhidi ya majogoo hao wa Anfield walio nafasi ya tano wakiwa na alama 60, wakati Chelsea wenye alama 64 wamecheza mchezo mmoja zaidi ya Liverpool, hivyo ikitokea majogoo hao wa Anfield wakishinda mchezo huo tofauti yao na chelsea itakuwa ni alama moja tu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava