
Kocha Gor Mahia ya Kenya, Jose Fereira
Fereira amesema mahesabu yao, ni kuifunga Tusker, na pia kuiombea timu hiyo, ipotezea mchezo wake mmoja kati ya minne iliyobaki.
Gor, ipo pungufu ya pointi nne, na vinara wa ligi hiyo, Tusker, ambao wana nafasi ya kutwaa ubingwa wao wa 11 wa Ligi Kuu ya soka nchini Kenya, kwa mara ya kwanza, tangu mwaka 2012.