Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

FIFA Kujadili mabadiliko ya kombe la Dunia

Jumatatu , 20th Sep , 2021

Shirikisho la soka duniani (FIFA) Limealika mashirikisho ya soka yaliyopo chini yake, siku ya septemba 30, 2021 kujadili juu kalenda ya kimataifa ya mpira wa miguu na pendekezo la Mkuu wa Maendeleo ya Soka Ulimwenguni , Arsene Wenger kuandaa Kombe la dunia kila baada ya miaka miwili.

Rais wa Shirikisho la soka duniani FIFA, Gianni Infantino akizungumza kwenye moja ya mkutano wa shirikisho hilo mwaka huu.

Ikiwa hivyo, Shirikisho la mpira nchini Tanzania (TFF) kama mshirika wa FIFA, itapata nafasi ya kushiriki katika mkutano huo unaokumbana na pingamizi kutoka UEFA chini ya Rais Aleksander Ceferin kuhusu wazo la kuwa na kombe la dunia kila baada ya miaka miwili.

"Hii ni moja wapo ya fursa kadhaa za kuanzisha mijadala ya wazi kujenga, katika kiwango cha kimataifa na kikanda, katika miezi ijayo na FIFA inatarajia kufanya hivyo.”

“Kwakuwa huu ni mradi wa mpira wa miguu, yanalenga masilahi ya ulimwengu na mpira wa miguu yanapaswa kutangulizwa, mchakato huu ambao ulianza na wachezaji na makocha kutoka kote ulimwenguni.” Ilisomeka kauli ya FIFA iliyotoka siku ya leo.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava