
Familia ya Diogo Jota itapokea zaidi ya shilingi bilioni 51 za Tanzania kwa kipindi cha miaka miwili iliyobaki kwenye mkataba wake na Liverpool, kulingana na viwango vya sasa vya kubadilisha fedha. Hii inamaanisha familia yake itapokea malipo yote yaliyokuwa yamebaki kwenye mkataba