
Jonas Mkude
Taarifa ya Shirikisho la soka nchini (TFF), imeeleza kuwa kocha Mkuu wa kikosi hicho Ettiene Ndayiragije amempa ruhusa kiungo huyo.
Pia imeeleza kuwa kutokana na siku kubaki chache kuelekea mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2021 dhidi ya Equatorial Guinea, hatoongoza mchezaji wa kuziba nafasi ya Mkude.