Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

England na kibarua kigumu kwa Hispania EURO

Jumatano , 20th Jul , 2022

Wenyeji wa michuano ya Ulaya ya wanawake, timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Wanawake ya England inajiandaa kwa mchezo wao mgumu zaidi ya michuano ya EURO ya Wanawake watakapo umana na Uhispania katika hatua ya robo fainali Jumatano ya leo Julai 20, 2022.

Wachezaji wa Timu ya taifa ya wanawake ya England

Uhispania wana kikosi kilichojaa washindi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, na ni moja kati ya timu zinazopigiwa upatu kutwaa Ubingwa hata kabla ya michuano hiyo kuanza. England wao wana faida ya kucheza nyumbani katika mji wa Brighton, katika mchezo huo wa kuwania nafasi ya kufuzu nusu fainali.

Imani imeongezeka kwa kikosi cha wenyeji England, waliyo orodheshwa katika nafasi ya nane kwenye viwango vya ubora duniani, wakiwa nyuma kwa nafasi moja tu na Uhisapania, wakiwa wamecheza michezo 17 mfululizo bila kufungwa tangu Mholanzi Sarina Wiegman achukue nafasi ya Kocha Mkuu kukinoa kikosi hicho mwezi Septemba mwaka 2021.

England ilishinda michezo yote mitatu katika hatua ya makundi bila kuruhusu bao hata moja, huku wakifunga magoli 14 na kuipiku rekodi ya awali ya michuano hiyo ya ya kufunga magoli 11 iliyowekwa na Ujerumani mwaka 2011.

Ushindi wa mabao 8 kwa 0 walioupata dhidi ya Norway katika mchezo wao wa pili, nao ndio ulikuwa ni ushindi mkubwa zaidi katika historia ya michuano hiyo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava