Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

England yatatu duniani kwenye viwango vya FIFA

Alhamisi , 16th Sep , 2021

Timu ya taifa ya soka England, imefanikiwa kupanda kwenye viwango vya soka duniani vitolewavyo na shirikisho la soka duniani FIFA leo Septemba 2021.

Kikosi cha timu ya taifa ya England kilichoshiriki michuano ya UEFA EUROS Julai mwaka 2021.

England imepanda kwenye nafasi hiyo baada ya kuwa na mfulululizo wa matokeo ya ushindi kwenye michezo ya kuwania kufuzu kombe la dunia dhidi ya Andorra, Hungary na Poland pamoja na kucheza fainali ya michuano ya EUFA EUROS yaliyomalizikia Julai mwaka huu.

Pia wakisifika kwa kutandaza soka safi, England imefikia rekodi yao waliyoiweka mwaka 2012 kwa kushika nafasi ya tatu kwenye viwango hivyo vya ubora na sasa wamefanikiwa kumpiku bingwa wa dunia, timu ya taifa ya Ufaransa anayoshika nafasi ya nne baada ya kuboronga hivi karibuni.

Ikumbukwe kuwa, Ufaransa ilicheza michezo mitano mfululizo bila kupata ushindi na hatimaye kuibuka na ushindi wa kwenye mchezo wake wasita hivyo kushuka kwenye nafasi moja. Kwa upande mwingine, timu ya taifa ya Ubeligiji imeendelea kung'ang'ania nafasi ya kwanza kwa mwaka wa saba mfululizo.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava