Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Mwakyembe atoa agizo

Jumanne , 26th Sep , 2017

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amesema anamtaka mkandarasi atakayeshughulikia uwanja wa taifa aweze kutoa tiketi zenye kuonesha namba siti ambayo mtu ataenda kukaa moja kwa moja na siyo masuala ya ubabaishaji.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe.

Dkt. Mwakyembe ametoa kauli hiyo wakati alipoenda kutembelea uwanja wa mpira wa miguu wa Nangwanda uliopo Mkoani Mtwara na kusema anahitaji mabadiliko katika viwanja vyote vya michezo ili viweze kuwa bora zaidi na kufanana na viwanja vingine vilivyopo duniani.

"Namtegemea mkandarasi anayekuja katika uwanja wa Taifa, na hili nitaeleza mpaka mwisho atuletee mabadiliko ambayo tunayataka na nitasisitizia hilo. Atakayetoa tiketi kwa namba za viti, siyo holela watu wanakaa sehemu za kutembelea kwa miguu. Maana sasa huelewi wameingia watu wangapi ?, ni lini Watanzania tutaweza kutendea haki hata viwanja vyetu vya kisasa. Kiwanja kipya kitakachokuja baada ya ukarabati, kitakachotokea pale ", amesema Dkt. Mwakyembe.

Mtazame hapa chini Dkt. Mwakyembe akiongelea zaidi kuhusu viwanja vya kimichezo vilivyopo chini Tanzania. 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava