Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bunge latoa maelekezo mapya kwa TFF

Jumanne , 4th Mei , 2021

Naibu Waziri wa Utumishi na Utawala Bora Deo Ndejembi, amesema kuwa serikali inatambua uwepo wa rushwa katika sekta ya michezo hususani katika suala la ukataji wa tiketi ambapo ameitaka TFF kuanza kukata tiketi kwa njia ya mtandao badala ya ule wa awali uliozoeleka.

Naibu Wazxiri, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Deo Ndejembi

Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 4, 2021, jijini Dodoma wakati akijibu maswali ya mbunge wa Mlalo, Abdallah Shangazi, kuhusu uwepo wa rushwa katika sekta ya michezo, huku akiongeza kuwa licha ya kuchukua hatua mbalimbali ya kuziba mianya rushwa bado pia wataendelea kuwachukulia hatua watuhumiwa wote wa rushwa katika sekta hiyo.

"Ili kuziba mianya ya rushwa niwaase TFF na timu za mpira wa miguu waachane na tiketi zile za kuchana na waweze kwenda kwenye 'electronic ticket' hii itasaidia sana upungufu na upotevu wa mapatao, itaongeza mapato kwa timu zao lakini vilevile kwa TFF", amesema Ndejembi

Aidha ameongeza kuwa "Imeonekana kuwa ikiwa timu ya Simba inacheza uwanja unajaa sana, lakini bado mapato yanakuwa ni hafifu ukilinganisha na timu nyingine ambayo ni kubwa Afrika Mashariki na kati"

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava