Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bingwa wa F1 kupatikana Disemba 12

Jumatatu , 6th Dec , 2021

Mashindano ya mbio za magari ya Langa Langa yanayotaraji kufanyika Disemba 12 mwaka huu nchini Abu Dhabi yanataraji kuwa yenye upinzani mkali kwani yamebeba hatma ya kuamua bingwa kati ya Lewis Hamilton na Max Verstappen.

(Lewis Hamilton (kushoto) na Max Verstappen (kulia)

Wawili hao wote wana walama 369.5 baada ya Lewis Hamilton kushinda usiku wa kuamkia leo kwenye mashindano ya mbio za magari ya Saudi Arabian Grand Prix huku Verstappen akishika nafasi ya pili.

Mbio hizo ambazo zimefanyika Saudi Arabia kwa mara ya kwanza, yangetoa hatma ya bingwa wa jumla wa kalenda ya mashindano hayo kama dereva Verstappen kutoka kambi ya Redbull angeibuka kidedea mbele ya Hamilton wa kambi ya Mercedes Benz kufuatia Verstappen kuwa mbele kwa alama 8.

Ikumbukwe, Hamiliton ni bingwa mara 7 wa Dunia lakini pia ni bingwa mtetezi wa misimu minne mfululizo na kama akiwa mshindi basi ataweka rekodi ya kutwaa ubingwa huo mara nyingi zaidi, wakati Max Varsterppen anauwinda ushindi wake wa kwanza.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava