Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Azam FC kuiteremsha Mtibwa Sugar ?

Jumapili , 24th Sep , 2017

Timu ya Azam FC inatarajiwa kushuka katika dimba lao la nyumbani Azam Complex, Chamazi Jiji la Dar es Salaam kuivaa Lipuli FC huku ikiwa na matarajio makubwa ya kuitoa kileleni Mtibwa Sugar katika msimamo wa Ligi ambao anaushikilia mpaka hivi sasa.

Akizungumzia mchezo huo Kocha Mkuu Aristica Cioaba amesema wamejipanga vizuri katika kuhakikisha wanachukua alama tatu katika mechi yao ya leo japo kuwa anatambua kila timu inawachezaji wazuri.

"Ninafuraha sana kuona wachezaji wanafanya mazoezi kwa nguvu na kusikiliza kila ninachotaka katika mechi hii dhidi ya Lipuli. Napenda kusema naheshimu kila timu hapa Tanzania kwa kuwa kila mmoja ana wachezaji wazuri lakini mipango yetu kwa leo ni kucheza soka zuri na kuchukua pointi tatu", alisema Cioaba.

Azam FC inashuka dimbani ikiwa na alama saba kibindoni ikiwa nyuma kwa pointi mbili alizokuwa nazo Mtibwa Sugar mpaka hivi sasa, ambapo naye Mtibwa Sugar atakuwa dimbani siku ya leo dhidi ya Ruvu Shooting FC akisaka alama tatu huku akimuombea njaa Azam FC asifunge ili aweze kubakia yeye nafasi ya juu.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava