Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Azam yatangulia fainali Kombe la Mapinduzi

Jumanne , 10th Jan , 2017

Klabu ya Azam FC imefanikiwa kutangulia fainali katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar baada ya kuichapa Taifa Jang'ombe bao 1-0 katika mchezo wa Nusu Fainali ya kwanza uliomalizika hivi punde.

Kikosi cha Azam

Bao la Azam katika mchezo wa leo limefungwa na kiungo wake 'Chumvi' Frank Domayo katika dakika ya 33 ya mchezo kufutia ubunifu binafsi wa kukimbiza mpira na kumchambua golikipa wa Taifa kwa shuti kali.

Pia katika hatua nyingine jopo la makocha limemchagua kiungo wa Azam FC na mfungaji wa bao Frank Domayo kuwa mchezaji bora wa mechi hiyo ambapo amezawadiwa kitita cha shilingi milioni 1.

Azam sasa itakutana Simba katika mchezo wa fainali utakaopigwa Ijumaa, tarehe 13, Januari

Wakati Azam ikitinga fainali, uongozi wa klabu hiyo leo jijini Dar es Salaam imemtambulisha kocha wake mpya ambaye ni Aristica Cioaba kutoka nchini Romania akiwa na uzoefu wa kufundisha vilabu kadhaa katika bara la Afrika.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava