Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Azam yatamba kuifunza soka Mbeya City

Jumanne , 17th Jan , 2017

Ligi kuu ya Soka Tanzania bara inaendelea Jumatano ambapo vinara wa Ligi Simba SC watakuwa ugenini dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro huku Azam FC ikiahidi kuendeleza ubabe wake kwa Mbeya City Uwanja wa Chamazi Dar es salaam.

Kikosi cha Azam kikishangilia ubingwa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi

Afisa habari wa Azam FC Jaffary Iddy Maganga amesema, mchezo wa kesho anaamini utakuwa ni mgumu lakini kila kitu ni maandalizi na wamejipanga kwa ajili ya kukabiliana na changamoto katika mchezo huo ili kuhakikisha wanapata ushindi wa nyumbani hapo kesho.

Jaffary amesema mpaka sasa hakuna majeruhi katika kikosi na wanachosubiri kwa sasa ni mchezo huo wakiamini watafanya vizuri kwani wameweza kuzifunga timu kongwe za Simba na Yanga katika michuano ya Kombe la Mapinduzi lililofanyika visiwani Zanzibar.

Jaffary amesema, Kocha Iddy Cheche ataendelea kuwa katika benchi la ufundi mpaka pale vibali vya kocha mpya wa Azam FC Mromania Aristica Cioaba vitakapokamilika.

Dismas Ten - Msemaji wa Mbeya City

Kwa upande wake kocha msaidizi wa Mbeya City Josia Steven amesema, anaamini Azam FC ni kikosi kizuri na wanachangamoto kubwa ya kukabiliana nao lakini wamejipanga vizuri zaidi hivyo Azam FC wasitegemee kuwafunga kama walivyofanya kwa Simba na Yanga katika michuano ya Kombe la Mapinduzi lililofanyika visiwani Zanzibar.

Msikilize hapa Msemaji wa Mbeya City, Dismas Ten

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava