Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aubameyang amfikia Memphis Barcelona

Jumatano , 11th Mei , 2022

Mshambuliaji wa Barcelona Pierre-Emerick Aubameyang sasa ameungana na Mephis Depay katika wachezaji wenye magoli mengi zaidi msimu huu katika kikosi cha barcelona.

(Pierre-Emerick Aubameyang)

Aubameyang amefikisha magoli 13 kwa ujumla aliyofunga tangu ajiunge na klabu hiyo mwezi january mwaka huu baada ya kufunga magoli mawili katika mchezo wa jana walioshinda magoli 3 kwa 1 dhidi ya Celta Vigo, akiwa sawa na Memphis Depay aliyefunga goli moja katika mchezo huo naye akifikisha magoli 13. Huku Ousumane Dembele akiongoza kwa kutoa pasi za magoli katika la liga msimu huu akifikisha pasi 13 za mwisho za usaidizi wa magaoli.

(Gari la wagonjwa lilipoingia uwanjani kumchukua Ronald Araujo)

Lakini ushindi huo uligubikwa na na huzuni baada ya mlinzi Ronald Araujo kugongana vichwa na Gavi kitendo kilichofanya Ronald Arauajo kushindwa kuendelea na mchezo baada kupoteza fahamu na kutolewa nje ya uwanja na kupelekwa hospitali kwa gari la wagonjwa katika kipindi cha pili.

Gavi na Araujo waligongana vichwa wakigombea mpira wa juu na baada kuanguka chini Araujo alisimama na kutembea hatua chake kisha alianguka tena na muda si mrefu timu za matibabu za vilabu vyote viwili zilikwenda kutoa huduma kwa beki huyo raia wa Uruguay.

Baadaye uongozi wa Barcelona walitoa taarifa kwamba fahamu zilimrudia beki huyo na kuzinduka wakati alipopelekwa hospitalini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava