Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

AFCON 2021 mashakani

Jumatatu , 6th Dec , 2021

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Maendeleo ya soka barani Afrika, Abdel Moniem Shatta ametilia shaka maandalizi ya AFCON yanayotazamiwa kufanyika mapema 2022 kwasababu wenyeji Cameroon kusua sua kukamilisha ujenzi wa viwanja.

(Kombe la Michuano ya Mataifa ya Afrika 'AFCON' 2022)

Wasiwasi huo unaibuka baada ya kamati ya mashindano hayo kufanya ukaguzi nchini Cameroon kuona kuwa, muda uliosalia huenda usitoshe kukamilisha ujenzi wa viwanja hivyo hususani eneo la kuchezea.

Ripoti ya tathmini kutoka kamati hiyo imeeleza kuwa, hata ikitokea michuano hiyo ikisogezwa mbele kwa muda wa miezi 3au 4 basi hakuna nchi ambayo itaweza kukamilisha maandalizi hayo hivyo huenda yakafutwa kwa mwaka 2022.

Shirikisho la soka la kimataifa Ulimwenguni FIFA linaelezwa kufuatilia maandalizi hayo kwa ukaribu huku ikiripotiwa kuwa tayari kuridhia michuano hiyo ifanyike nje ya bara la Afrika licha ya kuhusisha mataifa 24 na si 16 tena.

Mdokezo wa michuano hiyo kuhusishwa kufanyika hata nje ya bara la Afrika umekuja baada ya uwepo wa Katibu Mkuu wa FIFA, Bi. Fatma Samoura (Senegal) nchini Cameroon.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava