Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

AC Milan dimbani kwenye UEFA baada ya miaka saba

Jumatano , 15th Sep , 2021

Baada ya kukosa michuano ya Ligi ya mabingwa Barani ulaya kwa takribani miaka saba, miamba ya soka kutoka nchini Italia, AC Milan watakuwa na kibaru kizito dhidi Liverpool, usiku wa leo katika mchezo wa kwanza wa kundi B kwenye michuano hiyo.

Baadhi ya wachezaji wa AC Milan wakishangilia baada ya kufunga bao kwenye moja ya mchezo wa ligi kuu Italia 'Serie A'.

Mchezo huo ambao ni kumbukizi ya fainali ya mwaka 2005, Liverppol wakitwaa ufalme wa Ulaya na 2007 ulimwengu uliposhuhudia Milan wakilipa kisasi. 

Mtanange wa leo, historia itakuwa haina nafasi yoyote kwa pande zote mbili kutokana na mabadiliko,  utofauti na ubora kati ya vikosi hivyo, huku Liverpool ikipewa nafasi kubwa kushinda.

AC Milan watamkosa mkongwe Zlatan Ibrahimovic, lakini uwepo wa wachezaji wenye uwezo na vipaji kama  Theo Hernandez, Fikayo Tomori, Olivier Giroud, Sandro Tonali, Franck Kessie, Rafael Leao, Ante Rebic, Brahim Diaz, utampa unafuu kupanga Kocha Stefano Pioli.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava