Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

“Shughuli ya Lechantre imekwisha”-Manara

Jumanne , 19th Jun , 2018

Afisa habari wa klabu ya Simba, Haji Manara amefunguka kuhusu uwepo wa kocha Lechantre ndani ya timu hiyo mabingwa wa Ligi kuu Tanzania Bara, ambapo dalili zinaonesha kuwa hana nafasi tena.

Akizungumza na eatv.tv Manara amesema kuwa Pierre Lechantre amemaliza mkataba na klabu hiyo huku akionesha wasiwasi mkubwa kwa kocha huyo kama ataweza kuendelea na wekundu hao wa Msimbazi au la.

"Lechantre amemaliza mkataba na sisi lakini sijui kama ataendelea au la!, kama kutakuwa na haja na uhitaji ataongezewa mkataba ila sioni kama kuna tarajio hilo" amesema Manara.

Manara ameongeza kuwa “kuhusu usajili baada ya kuwasajili akina Salamba na wengine bado tutaongeza mashine mbili za kigeni na tutawatambulisha muda siyo mrefu" ameongeza Manara.

Lechantre alijiunga na Simba katikati mwa raundi ya kwanza ya Ligi kuu akichukua nafasi ya Mcameroon Joseph Omog aliyetupiwa virago baada ya kichapo kutoka kwa Green Warrious.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava