Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanawake wakerwa, tabia za wanaume kwenye daladala

Ijumaa , 21st Jun , 2019

Ni kawaida katika miji mikubwa yenye msongamano wa watu katika nchi nyingi barani Afrika kukumbwa na adha ya usafiri wa raia wake.

Usafiri wa daladala

Nchini Tanzania, hali hiyo inaweza kuonekana zaidi katika majiji makubwa kama Dar es Salaam, Mwanza na Arusha, ambapo shida ya usafiri upelekea watu kujazana kwenye usafiri wa daladala ambao ndio unawapa unafuu watu wengi.

Kero kubwa ambayo imetajwa kuwachosha wanawake wengi kwenye daladala ni tabia ya baadhi ya wanaume kukaa nyuma yao, maarufu kwa jina la 'Kubambia', hali inayowafanya kukosa amani katika usafiri. 

Kupitia mada iliyowekwa katika ukurasa wa Facebook wa EATV, wanawake wengi waliotoa maoni yao wameonesha kukerwa na tabia hiyo, huku wengine wakidai kuwa baadhi ya wanaume hufanya makusudi ili tu waweze kutimiza haja zao.

Licha ya kero hiyo kwa wanawake wengi ambao wametoa maoni yao, kero zingine zinazowakera wasafiri wengi ni pamoja na nguo za makondakta wa daladala pamoja na usafi wao kwa ujumla kuwa mdogo, ambapo wamedai kuwa makondakta wengi si wasafi ilihali wao wanakuwa karibu mno na abiria. Pia suala la baadhi ya abiria kuzungumza lugha chafu kwenye daladala bila kujali rika zilizomo ni kero kubwa kwa abiria wengi.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava