Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nilijinyanyapaa mwenyewe kisa VVU - Veronica

Jumatano , 1st Dec , 2021

Veronica Lyimo, ni mwaamke anayeishi na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI, ambapo amesema kwamba kwa mara ya kwanza alipojigundua na hali hiyo hakuweza kuikubali na badala yake alianza kujinyanyapaa mwenyewe.

Veronica Lyimo, anaishi na VVU

Kauli hiyo ameitoa hii leo Desemba 1, 2021, kwenye kipindi cha Supa Breakfast cha East Africa Radio, ikiwa leo Dunia inaadhimisha siku ya UKIMWI Duniani, ambapo kitaifa maadhimisho haya yanafanyika mkoani Mbeya.

"Mimi nilipogundulika naishi na maambukizi ya VVU mwaka 2015 nilijinyanyapaa mwenyewe, hali ambayo ilipelekea hata ule unywaji dawa na kupata huduma za kiafya ikawa ngumu kwa upande wangu," amesema Veronica.

Aidha, ameongeza kuwa, "Baada ya Mjomba wangu kuniambia kwamba kuna maisha baada ya VVU akanikutanisha na majukwaa tofauti ya wanawake, na kuingia rasmi kupambana na hali ya kujinyanyapaa mwenyewe na nikagundua sipo peke yangu".

HABARI ZAIDI

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava