Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanamke atangaza kuolewa na Wanaume watatu

Alhamisi , 22nd Aug , 2019

Mwanamitindo na staa wa ubunifu wa mavazi na mfanyabiashara nchini Nigeria Toyin Lawani (37), ametangaza kutaka kuoelewa na Wanaume watatu atakapofikisha miaka 40.

Toyin Lawani

Toyin Lawani ametangaza hivyo kupitia Insta Stori ya mtandao wa kijamii wa Instagram, kuwa yupo tayari kuwajengea nyumba na kuishi nao wote wa watatu kwa pamoja.

Toyin Lawani ameandika kuwa "Kwanini Wanaume wanaruhusiwa kuoa Wanawake watatu na zaidi, mimi nitakapofikisha miaka 40, nitaolewa na wanaume watatu tofauti kwa pesa zangu mwenyewe, nitajenga nyumba kubwa na kuishi nao ila nitakuwa nachagua kila Mwanaume mmoja wa kulala naye kwa kila usiku mmoja".

Pia ameendelea kuandika, ''wanaume wanaaminishwa kuoa wanawake wengi, kwanini wanawake washindwe na sasa hivi dunia imebadilika na wanawake wanatakiwa waheshimiwe''.

Mwisho kabisa ameandika kuwa Wanawake hawawezi kupata ujauzito bila Wanaume, ila wana uwezo wa kununua mbegu za uzazi, mwanamke anabeba mimba kwa miezi 9, miaka miwili ya kumlea mtoto, Mwanaume hawezi kumpa mtoto zawadi wala hajali ila  anaweza kukusaliti.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava