Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mrembo Tanzania aeleza alivyotaka kujiua mara 4

Jumapili , 6th Mar , 2022

Mwanamuziki nchini Tanzania Angel Mary Kato, amesema kwamba amewahi kujaribu kujiua kama mara nne, kutokana na changamoto ya matatizo ya afya ya akili yaliyosababishwa na malezi na matarajio ya kuwa na mafanikio fulani.

Mwanamuziki nchini Tanzania Angel Mary Kato,

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza kwenye kipindi cha MadiniDotCom.

"Maisha yangu yote tangu nikiwa mdogo nilikuwa napambana sana na 'mental health', kwahiyo nikipiga mahesabu nimeshajaribu kujiua kama mara nne hivi, na nilianza kuwaza kujiua nikiwa darasa la 5, kwa sababu tangu nikiwa mdogo tulikuwa tunaishi maisha mazuri na Mama na alikuwa na kazi nzuri, baadaye akatuambia analeta Baba wa kambo na alivyokuja tu kwenye familia alituvuruga sana,walikuwa wanapigana kila siku na Mama", amesema Angel

Aidha Angel ameongeza kuwa, "Mara yangu ya nne kutaka kujiua ilikuwa Septemba 2018, na nilitafuta njia ya kujiua vizuri na ilikuwa baada ya BSS nikijua kwamba maisha yatabadilika, kwa sababu kabla ya BSS tulikuwa na mgogoro wa career mimi na mama, na familia ilinitenga na nilitafuta njia ya kujiua ambayo ni rahisi na isiyokuwa na maumivu,".

Mwanamuziki huyo amesema kwamba, ili kusaidia watu wenye matatizo ya afya ya akili kitu muhimu kinachotakiwa ni kuwapa msaada wa kuwasikiliza na kuzungumza nao na kuwapa moyo na sio pesa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava