Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mpaka siku naondoka nitakuwa sijamlipa"- Goodluck

Jumamosi , 16th Jan , 2021

Mwimbaji wa muziki wa injili, Goodluck Gozbert, amesema kuwa yeye anaamini kwamba hadi pale atakapofikia wakati wa kuondoka duniani, atakuwa hajafanya kitu chochote ambacho kinatosheleza yale mema yote aliyofanyiwa na mama yake.

Mwimbaji wa muziki wa injili, Goodluck Gozbert

Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza kwenye kipindi cha DADAZ cha East Africa Television, na kuwasihi wale wote ambao mama zao wapo basi wahakikishe wanatenga muda kwa ajili ya mama zao, kama ambavyo MC Pilipili alivyokuwa akijitahidi kumpa muda mama yake.

"Mpaka siku naondoka Duniani nitakuwa sijaweza kumlipa kitu mama yangu, kuna wakati huwa namuomba Mungu angalau nipate muda wa kutoka na kutembea na mama, Mungu amlaze mahali pema Mama wa MC Pilipili, kwani alijitahidi kumpa muda, huwezi kumlipa mama eti kwa kusema umjengee nyumba eti ndiyo vitarudisha vitu ambavyo aliwahi kufanya", amesema Goodluck.

Aidha Goodluck ameongeza kuwa, "Kwa ambaye uko na mama na una muda unapata nafasi mtembelee sana mama, zungumza naye na cheka naye naamini ni vitu ambavyo huwezi kupata tena muda wa kuvifanya wakati ambapo siku zitakuwa zimesonga mbele".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava