Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbasha afunguka miaka 5 bila kukutana na mwanamke

Jumamosi , 22nd Jun , 2019

Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha ameweka wazi kuwa yupo Single kwa miaka mitano sasa na hajawahi kukutana na mwanamke tangu alipoachana na mke wake Flora Mbasha.

Emmanuel Mbasha

Mbasha amefunguka hilo kwenye Friday Night Live ya East Africa Television, Ijumaa Juni 21, 2019 akijibu swali la Sam Misago juu ya ukaribu wake na mtoto wake wa kike Elizabeth huku akiwa hana mwanamke.

''Toka April 2014 nimejitunza sijawahi kukutana na mwanamke kimwili, mimi ni mwanaume niliyekamilika kuanzia mwonekano lakini kwasasa sina mwanamke namjali tu mtoto wangu ili ajivunie uwepo wa baba yake ila Mungu akijaalia nitapata mke'', alisema.

Kuhusu skendo zinazoendelea mitandaoni kuwa mwimbaji huyo ana watoto wengi tu na sio mmoja kama anavyodai yeye, Mbasha aliweka wazi ukweli.

''Nina mtoto mmoja tu ambaye ni Elizabeth Mbasha, ila hao wanaosema nina watoto wengi ni uzushi tu wa mitandaoni pia ni uongo na wivu wenye lengo la kunichafua lakini watashindwa kwa jina la Yesu''.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava