Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama wa Konnektion alianzisha upya kwa wapendanao

Jumatatu , 8th Feb , 2021

Mtangazaji wa kipindi cha Drive Show ya East Africa Radio, Ireen Tillya 'Mama wa Konnektion' ametangaza kampeni mpya ya 'tumeshalipia jambo lako' kuelekea siku ya wapendanao ambapo watawawezesha wapenzi au wanandoa kupata chakula cha usiku kwenye hotel zenye hadhi hapa nchini.

Mtangazaji wa East Africa Radio Ireen Tillya

"Waliopo kwenye mahusiano wanatakiwa wasikilize vipindi wanaweza kuambiwa wa-post picha wakiwa na  wapenzi wao na kutumia hashtag zetu za tumeshalipia jambo lako na nogesha mahaba, wengine watapiga simu kueleza kwanini wanastahili kushinda ofa hiyo na wengine wataweza kuelezea mahusiano ya watu wengine wanaowapenda na wanaona wanastahili kupata ofa

"Vigezo ni kwamba lazima uwe na mpenzi, mke, mume au mchumba, pili uweze kujibu maswali yetu tunapokuuliza na kitakachofanyika ni kudhamini dinner au launch yako na mpenzi wako, kwa hapa Dar wataenda Golden Tulip Masaki, kama upo Moshi, Kilimanjaro ni Kili Wonders Hotel na Mwanza wataenda Lahe Hotel" ameongeza Ireen Tillya 

Zaidi mtazame hapa chini kwenye video. 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava