Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilichotokea kwenye mazishi ya aliyeuawa na Polisi

Jumatano , 10th Jun , 2020

Jumanne ya Juni 9, 2020, ilikuwa ni siku maalum kwa wakazi wa Marekani hasa wale weusi baada ya kumuaga na kuzikwa kwa raia George Floyd ambaye ameuawa mikononi mwa Polisi Derek Chauvin mwishoni mwa mwezi Mei.

Watu wakibeba jeneza kuelekea kumzika George Floyd

Shughuli hiyo ya mazishi yake imefanyika Jijini Houston, Texas nchini Marekani, na kuongozwa na Kanisa la Fountain of Praise, ambapo watu takribani 500 wamehudhuria wakiwemo watu maarufu na wanasiasa wa nchi hiyo.

Gavana wa Minnesota Tim Walz, alitoa dakika 8 na sekunde 46 za ukimya ikiwa ni ishara ya heshima za mwisho za kumuaga George Floyd, aidha Mjomba wa George ametaka haki itendeke huku akisema tukio hilo ni la chuki kwa mpwa wake na wala sio uhalifu.

Polisi aliyefanya tukio hilo Derek Chauvin na wenzake wanne, wamefukuzwa kazi na wote wameshtakiwa kwa kesi ya mauaji japo siku ya jana zilitoka taarifa kwamba amewekewa dhamana ya Tsh Bilioni 2.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava