Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kampeni ya Namthamini 2022 kuzinduliwa Mei 27

Jumamosi , 21st Mei , 2022

Kampeni ya Namthamini kwa mwaka 2022 inatarajiwa kuzinduliwa tarehe 27 Mei, 2022 ikiwa ni muendeleo wake kwa ajili ya kuwasaidia watoto wa kike kusoma bila kikwazo katika shule mbalimbali Tanzania kwa kuwapatia taulo za kike.

Kampeni ya Namthamini kuzinduliwa 27, Mei, 2022

Tukio la uzinduzi rasmi wa kampeni hii litafanyika katika shule ya sekondari ya Kidete wilayani Kigamboni, Dar es Salaam, mgeni rasmi akiwa ni Mkuu wa Wilaya hiyo, Mhe. Fatma Nyangasa.

Huu ni mwaka wa sita kampeni hii inafanyika tangu kuanzishwa kwake mwaka 2017, ambapo kwa mwaka 2022 East Africa TV na East Africa Radio inashirikiana na Rotary Club of Dar es Salaam, Oysterbay, AMREF Tanzania na CRDB Bank.

East Africa Tv na East Africa Radio imekuwa ikiratibu kampeni hii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, ambapo kwa mwaka 2021 ilifanikisha kugawa taulo za kike za kuwaweka shuleni watoto 1500 katika mikoa mbalimbali.

 

HABARI ZAIDI

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava