Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kampeni ya Namthamini 2021 yazinduliwa rasmi

Ijumaa , 28th Mei , 2021

Ikiwa leo ni Siku ya Hedhi Salama Duniani, East Africa Television na East Africa Radio imezindua kampeni ya Namthamini kwa mwaka 2021, tayari kwa kukusanya taulo za kike (pedi) na kuzigawa kwa wanafunzi wa kike wenye uhitaji waliokatika mazingira magumu katika maeneo mbalimbali nchini.

Balozi wa Kampeni ya Namthamini Deogratius Kithama akipokea mchango wa pedi kutoka kwa Devotha Mkwawa

Akiongea kupitia kipindi cha DADAZ ambapo uzinduzi umefanya rasmi mtangazaji wa kipindi hicho Bhoke ameeleza mafanikio makubwa ya kampeni hiyo ambayo kwa mara ya kwanza ilianza mwaka mnamo mwaka 2017.

Mtangazaji Bhoke

''Tangu kampeni ya Namthamini NasimamaNaye ianze mwaka 2017, East Africa Television na East Africa Radio zimefanikiwa kugawa pedi zaidi ya 40,000 ambazo zimewasaidia wanafunzi zaidi ya 10,000 nchini kote,'' ameeleza Bhoke.

Aidha, moja ya wazalishaji wa pedi ambao wamekuwa wakishirikiana na East Africa Television na East Africa Radio kwa kiasi kikubwa katika kufikia lengo, kampuni ya Keys Pads kupitia mwakilishi wake Heris Mtui wamesema kwa sasa suala la pedi lipo wazi zaidi ukimya umeshavunjwa.

Heris Mtui kutoka Keys Pads

''Unajua wakati kampeni ya Namthamini inaaza mambo hayakuwa kama leo, kiukweli tumefanikiwa sana kuvunja ukimya na hata dukani huwezi kukuta tena pedi zinafichwa badala yake zinawekwa kama bidhaa za mbele kabisa,'' amesema Mtui.

Msanii Madee ni miongoni mwa wageni kwenye uzinduzi wa Kampeni ya Namthamini

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava