Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Atiwa mbaroni kwa kukata uume wa mwenzake

Alhamisi , 18th Jul , 2019

Mkazi mmoja wa jiji la Florida nchini Marekani aitwae Alex Bonella, mwenye miaka 49, anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kumkata Uume mwanaume mwenzake.

Kwenye picha ndogo ndiye mtuhumiwa

Mtuhumiwa huyo alifanya tukio hilo siku ya Jumapili, na alikata Uume wa mwanaume mwenzake kwa kutumia mkasi kwa sababu alikuwa anaamini mwanaume huyo alilala na mkewe.

Ofisa wa polisi katika kituo cha Gilchrist County Sheriff, wamesema taarifa hizo walizipata kutoka kwa jirani wa mtuhumiwa huyo, ambaye aliripoti polisi kuhusu mtuhumiwa huyo kumuomba mkasi na kumshikia silaha.

Aidha muathirika wa tukio ambaye yupo hospitali kwa sasa amesema Alex Bonilla alienda nyumbani kwake na kumtishia kumuua huku amemshikia bunduki kama akikataa kufanya atakavyo, na kumlazimisha kulala chini na kumtolea mkasi na kisha kumkata Uume wake.

Hata hivyo mtuhumiwa mwenyewe wa tukio hilo Alex Bonilla amesema mwanaume huyo alifanya mapenzi na mke wake nyumbani kwake mwezi wa tano mwaka huu, na mpaka sasa mtuhumiwa huyo anashikiliwa na jeshi la polisi kwa makosa mawili, moja ni kufanya uhalifu wa kikatili, pili ni kushambulia kwa kutumia silaha.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava