Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bila Sajuki nisingekuwepo - Gabo Zigamba

Jumatano , 2nd Nov , 2016

Mkali katika tasnia ya filamu Bongo Salim Ahmed, maarufu kama Gabo Zigamba amefunguka na kusema kuwa bila ya marehemu Sadick Juma Kilowoko maarufu kwa jina la Sajuki huenda leo hii yeye asingekuwepo katika tasnia ya filamu nchini.

Gabo Zigamba

 

Gabo Zigamba amesema hayo kupitia 'Kikaangoni' inachofanyika kupitia ukurasa wa facebook wa EATV na kusema kuwa marehemu Sajuki alikuwa mstari wa mbele kumpa nafasi na alimuamini kiasi cha kumshika mkono katika kila kazi mpaka yeye alipoanza kufanikiwa na kuanza kujulikana katika tasnia ni kutokana na jitihada za marehemu Sajuki. 

"Marehemu Sajuki alikuwa na mchango mkubwa sana katika tasnia yangu, Mungu alimpa Sajuki baraka kwani bila yeye mimi nisingekuwa Gabo Zigamba leo, asilimia 75 ya umaarufu wangu leo hii ni kutokana na jitihada za Sajuki. Kwani alikuwa ananichukua na kunipa kipaumbele kwenye kazi zake, aliniamini mapema sana na kunipa nafasi mpaka nilipoanza kufanikiwa hivyo ana mchango mkubwa sana kwangu, huwa siwezi kumuongelea sana Sajuki kwani alikuwa mtu muhimu sana kwangu" Gabo Zigamba 

Mbali na hilo Gabo Zigamba alisema kuwa pengo la marehemu Kanumba kwenye tasnia ya filamu litazibika tu ingawa anatambua kuna changamoto kubwa kuliziba pengo hilo ila anaamini litazibika tu siku moja. 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava