Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Whozu, Tunda wamkaribisha mtoto wao 

Jumapili , 20th Jun , 2021

Baada ya kukana kwa muda mrefu kuhusu taarifa za ujauzito Whozu ameamua kuweka wazi suala hilo baada ya kupost picha na mpenzi wake Tunda anayeonekana akiwa mjamzito huku akiweka 'caption' ya kumkaribisha mtoto wao huyo mtarajiwa.

Picha ya Whozu na mpenzi wake Tunda

Ujumbe huo ambao ameuandika kwenye ukurasa wake wa Instagram unaeleza kuwa "Karibu duniani mwanangu huku mimi na mama yako tunakusubiri kwa hamu sana. leo ndio siku ya 'Baby Shower' yako, basi mwanangu mimi baba yako wala sina maneno mengi we chagua ufanane na mama yako au mimi utakavyopenda wala usijali

"Ila itapendeza sana mwanangu ukifanana na mama yako sababu 'She's So Beautiful' yaani ni pisi na nusu, eeh Mungu sisi sote tunajikabidhi mikononi mwako ikawe heri na faraja kwetu utulinde na wenye roho mbaya, roho za husda na wasiotupenda amen" ameongeza 

Aidha kwa upande wa Cappuccino Tunda ameandika "Siwezi kusubiri kuwa mama kwa kweli, mtoto yupo njiani".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava