Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Weusi ni ubunifu wangu - Nisher

Jumamosi , 27th Mei , 2017

Muongozaji wa video za muziki wa bongo, Nisher amefunguka kufafanua kwa nini amekuwa akitumia rangi nyeusi katika kazi zake na kudai ni ubunifu wa kujitofautisha na watu wengine wengi wanaofanya kazi hiyo.

Muongozaji wa video, Nisher

Nisher amefunguka hayo baada ya maswali mengi mtaani kuzagaa kwa kipindi kirefu  kwa nini anatumia rangi nyeusi, kwa kudai kwamba video ni kama nguo ikivaliwa leo kesho itapumzishwa hivyo yeye kuweka rangi nyeusi ni kubadilisha mionekano ya rangi za video kama ilivyokuwa imezoeleka hapo awali.

Picha ya  wimbo wa weusi 'Gere' aliouongoza Nisher.

Aidha Nisher amefafanua na kusema kwamba  elimu ya uongozaji wa videoi aliyoipata nchini Marekani inamsaidia sana katika kufanya kazi zake kitaalamu jambo ambalo lilimfanya wasanii wengi kumkimbilia tangu alipojiingiza kwenye tansnia ya muziki.

"Kutumia elimu kwenye tasnia ya video ni nzur kwa sababu inakufanya uwe smart kuanzia kwenye makubaliano ya kazi mpaka ufanyaji wake. Siyo mbaya mtu kutumia kipaji chako cha mtaani lakini ukichanganya na suala la emu lazima mtu atakuwa anakeheshimu jinsi ambavyo unaifanya kazi yako" - Nisher aliongeza.

Akizungumzia kuhusu wimbi la waongozaji video kuongezeka kila Siku Nisher amesema "Ma- directors wanavyoongezeka kila siku ni tafsiri ya kuwa industry yetu imekua, suala la kusema huyu hajui siyo tatizo kwa kuwa hata mtoto anapokuwa anakua kuna mambo anakuwa anakosea mpaka anakuwa mtu mzima. Hivyo ma director wachanga nao wakikosea siyo dhambi kwani na wao wanahitaji muda wa  kujifunza zaidi".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava