Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VIDEO : Sijutii - Ben Pol

Jumapili , 28th Mei , 2017

Mwanamuziki wa miondoko ya 'RnB' bongo, Ben Pol mwenye 'hit song' ya 'Tatu' amefunguka kwa kusema hawezi kujutia hata kidogo kwa kupiga picha zilizokuwa zinazomuonesha akiwa nusu uchi kwa madai alichokifanya ni kuwasilisha maudhui ya wimbo wake mpya.

Msanii Ben Pol

Ben amebainisha hayo kupitia kipindi cha FNL kinachorushwa na EATV kila siku ya Ijumaa kuanzia saa tatu kamili usiku mpaka saa tano za usiku.

      Hizi ndiyo picha zilizozua gumzo mitandaoni siku chache zilizopita kama huku pata bahati ya kuziona

“Hamna majuto kwa sababu nisingeweza kutoa ‘materials’ yak u-promote wimbo wangu ambazo maudhui yake yapo tofauti na wimbo wangu…Wimbo wangu ‘message’ yake na ile sanaa yake vitu vya ku-promote lazima viwe na picha ile kwa hiyo siwezi kujikataa nikasema ngoja niiweke kidogo niisoftishe lazima niweke ule ukali, ukakasi kwa sababu ‘message’ yake na kile nilichotaka kukifikisha uzito wake lazima vifanane” alisema Ben Pol.

Bofya  hapa chini kumtazama Ben Pol alivyofunguka.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava