Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VIDEO: Mzigo nimezaliwa nao - Snura

Ijumaa , 19th Mei , 2017

Msanii wa bongo fleva Snura Mushi maarufu kama Malkia wa uswazi mwenye 'hit song' ya 'nionee wivu' amefunguka na kudai hajawahi kutumia dawa za kichina za kuongeza makalio kama watu wanavyomwambia bali umbo lake ni 'original'.

Msanii wa bongo fleva Snura Mushi

Snura amesema hayo kupitia eNewz kutoka EATV baada ya watu wengi kuamini mwanadada huyo anatumia dawa za kuongeza maungo yake ya mwili kama baadhi ya wanawake wengini wa mjini wanavyofanya ili waweze kuwapata kuwanasa wanaume kiuwepesi zaidi.

Nina utofauti kidogo jinsi nilivyoumbwa mimi kiukweli ukiacha hiyo shepu yangu watu wanayoiongelea …Mimi ukiniangalia tu unajua tu ni ‘Original’ kwa sababu kwanza naweza kuongeza kalio kwa kuliongeza lakini je na nilivyokatika ? naweza kuchukua kisu nikajichimba, mimi nilivyo hapa katikati nimetumbukia kabisa yaani nimegawa mgongo pekee yake na chini peke yake". Alisema Snura

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava