Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Usaili wakamilika Dance100% 2014

Jumatatu , 4th Aug , 2014

Usaili wa mwisho wa shindano la Dance100% 2014, umemalizika kwa kishindo jana katika uwanja wa TCC Chang'ombe Jijini Dar es Salaam.

shindano la Dance100% 2014 nchini Tanzania

Kutokana na mpambano mkali, jumla ya makundi 6 yaliyojitokeza katika usaili huo wa mwisho yameweza kufanikiwa kuingia hatua ya robo fainali.

Makundi yaliyoweza kushinda kupita katika usaili huu ni The WT, Best Boys Crew, Bad Crew, Best Love na WAZAWA ambao walifungana alama na G.O.P., na hivyo kusababisha makundi haya mawili kupata nafasi ya kusonga mbele pamoja na kufanya jumla ya makundi yaliyopita jana kuwa 6.

Kwa sasa makundi yote yaliyopita kutoka Don Bosco Upanga, Don Bosco Oysterbay na TCC Chang’ombe, ni 16 ambayo yanajifua kujiadaa kwa mpambano mkali zaidi wa hatua ya robo fainali itakayoanza hivi karibuni.

Kwa kutazama kilichojiri jana, usikose show hii kali inayokwenda kwa swaga ya Dance 100% 2014 kupitia EATV, siku ya Jumatano saa 1 kamili jioni.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava