Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukiniona na Baghdad andaa mbavu zako - Roma

Jumatano , 18th Jan , 2017

Rapa Roma Mkatoliki ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake 'Usimsahau mchizi' amefunguka na kusema siku zote ukimuona yeye amefanya kazi na Rapa Baghdad basi unachotakiwa ni kuandaa mbavu zako.

Roma na Baghdad

Roma Mkatoliki alisema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo na kudai siku zote wanatoa ngoma kwa lengo ya kuwafurahisha watu, wanatoa ngoma kwa lengo la kufanya watu wacheke na kupunguza stress ndiyo maana kazi hizo wanatoa kila mwezi wa kumi na mbili kipindi ambacho watu wengi wapo likizo.

"Siku zote ukiona Roma na Baghdad wamefanya kazi unachotakiwa kuandaa mbavu zako tu kwani tunafanya kazi kwa lengo la kufurahisha watu, kufanya watu wacheke ndiyo maana kazi zetu za pamoja tunatoa Desemba kipindi ambacho watu wapo likizo lengo watu wafurahi na kupunguza stress za kazi za mwaka mzima" alisema Roma Mkatoliki.

Mbali na hilo Roma Mkatoliki alizungumzia kitendo cha baadhi ya mashabiki kuwachana baada ya kufanya muziki aina ya singeli kwenye wimbo wao wa 'K', Roma anadai kuwa muziki hauna mipaka hivyo mashabiki hawapaswi kumuwekea msanii mipaka ya kufanya kazi, bali msanii anapaswa kuwa huru na kufanya muziki aina yoyote.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava