Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uchebe atoa kauli ya kibabe kwa mwanamke wake mpya

Ijumaa , 13th Nov , 2020

Aliyekuwa mume wa msanii Shilole, mfanyabiashara Uchebe amejibu mapigo kwa wanaoleta maneno kuhusu mpenzi wake mpya aitwaye Official Agness, kwa kusema sasa hivi yeye sio mume wa mtu na hayupo kwenye ndoa hivyo anaweza kuchukua mwanamke yeyote anayemtaka.

Picha ya pamoja Uchebe akiwa na mpenzi wake mpya Official Agness

Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, Uchebe amesema kila mtu aangalie maisha yake na watu wasimjaji sana kwani hata yeye ana 'protocal' binafsi za maisha yake.

"Sipo kwenye ndoa na sasa hivi mimi sio mume wa mtu, nina uwezo wa kutoka na yeyote na kufanya chochote kama mwanaume, na mwanaume lazima amfuate mwanamke ili kujua anataka nini haijalishi awe muislam au muikristo" amesema Uchebe

Aidha ameongeza kusema "Maisha yapo tofauti wasijaji sana kuhusu mimi waangalie maisha yao yanaenda vipi, mimi pia nina protocal zangu kwa mwanamke kwanza awe anafanya ibada na asinywe pombe maana siwezi kukaa na mwanamke mlevi kwangu".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava