Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Tulijisahau, tumetumia sana pesa" - Juma Nature

Jumatatu , 3rd Mei , 2021

Mkali wa 'chorus'  Juma Nature amewashauri wasanii wapya kwenye 'game' ya BongoFleva kwa kusema wakipata pesa waangalie vitu vya msingi vya kufanya na kuwekeza kwenye vitu vya maana kwa sababu muda haurudi nyuma.

Msanii Juma Nature

Akitoa ushauri huo kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio Juma Nature amesema hata wao walipaswa kuwa matajiri wakubwa kwa sababu walishika sana pesa kipindi cha nyuma ila wakazitumia.

"Ninachomshauri msanii yeyote anayepata jina au anaetaka kutoka kwanza asiwe mzembe, majivuno, asibweteke na asiendekeze starehe kwa sababu zinafanya mtu akapaotea kabisa tena kwa dakika sifuri, wakipata pesa waangalie vitu vya msingi au fursa zakufanya muda haurudi nyuma" 

"Mimi dingi lao Naongea hivi kwa sababu nimeyaona mengi sana, sisi tulitakiwa tuwe watu wakubwa sana na nikizungumzia ukubwa sio wa jina bali ni utajiri, hapa katikati game ika-change halafu tulijisahau kidogo pesa tulipata mno ila tumetumia sana" ameeleza Juma Nature

Aidha amesema uzuri wa suala la kufanya sanaa haliihitaji elimu kwani ukikitumia vizuri kipaji chako kinaweza kukuingiza pesa nzuri ya kutengeneza maisha.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava