Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Siruhusu cover ya wimbo wangu iuzwe-Ditto

Jumamosi , 22nd Apr , 2017

Msanii wa muziki wa bongo fleva mwenye 'hit song ya Moyo sukuma damu' Lameck Ditto amesema yupo tayari kwa wimbo wake kufanyiwa marudio 'Cover' na msanii yoyote lakini siyo kwa lengo la kufanyabiashara.

Msanii wa bongo fleva Lameck Ditto

Ditto amefunguka hayo baada kuona watu wengi wameupokea vizuri wimbo huo na kuchezwa sehemu mbalimbali huku wasanii wanaochipukia kuonekana na wapotayari kufanya 'cover' kwa lengo la kuzidi kufikisha ujumbe mbali zaidi.

“Watu wengi wanatamani kufanya cover ya huu wimbo mimi naruhusu kiroho safi tu ila sasa wabongo wasifanye kwa kuwauzia watu unajua mtu anapofanya 'cover' kwanza kaonyesha kuikubali kazi hiyo…lakini sasa inapotokea mtu anataka kuuza hapo ndipo anaharibu kazi…akifanya cover mimi namtazama kama msanii mwenye kipaji cha ziada”. Alisema Ditto 

Kwa upande mwingine Ditto amewashukuru wananchi kwa kumpokea vizuri baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu kabla ya kuja na ngoma yake ya 'Moyo sukuma damu'.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava