Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sijawahi na wala sitaimba mapenzi - Tabla

Alhamisi , 23rd Mar , 2017

Msanii wa muda mrefu katika bongo fleva ambaye hivi sasa ameibuka na kitu kipya alichomshirikisha Peter Msechu, 'Nasema na wewe' ameweka wazi kuwa hajawahi kuandika/kuimba wimbo wenye maudhui ya mapenzi na wala hatakuja kufanya hivyo

Tabla

Akizungumza na EATV, Tabla ambaye jina lake halisi ni Elvis Geofrey Tabula amesema ameamua kujikita kwenye nyimbo zenye ujumbe wenye mafunzo kwa jamii na mara nyingi huwa anakaa kimya lakini kila anapotoka na kitu kipya mashabiki wa muziki wana muelewa.

Pia amewataka wadau wa muziki kuangalia na kutoa sapoti kwa wasanii wanaotoa kazi nzuri badala ya wale wenye kazi mbovu lakini wanatumikia 'kiki' kuteka soko la muziki.

"Mara nyingi nakaa kimya sana, ila nikileta wanaelewa. Mimi ni msanii ninayeandika vitu vinavyoishi au vinavyoigusa jamii. Sijawahi kuimba mapenzi na hata kuandika mashairi ya hivyo...... Wadau waangalie kitu kizuri si kwa sababu ni mtu flani.. waachane na wasanii ambao kabla ya kutoa nyimbo lazima watengeneze kitu kama 'kiki' vitu vinavyoshusha uhalisia wa mwanamziki na tasnia nzima pia" Amesema Tabla

Akizungumzia game ya sasa jinsi ilivyo, Tabla amesema kuwa kwa sasa sanaa ipo juu na muziki wa Tanzania umefika mbali  kiasi cha wkuingizwa katika vinyang'anyiro vya tuzo kubwa

"Game ya sasa ipo juu sana, muziki wetu umefika mbali sana kwa sasa ukiachana na Afrika, ndiyo maana leo wasanii wa hapa wanarudi na tuzo kubwa duniani".

aka Tabla. 
Song:  

Hii ndiyo kazi aliyotoka nayo Tabla kwa sasa, ikienda kwa jina la 

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava