Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Sijaongea na wifi yangu zaidi ya miaka minne"

Jumanne , 10th Jan , 2017

Msanii wa muziki wa taarab nchini ambaye hivi sasa anatesa na kundi la Wakali wao, Khadija Yusuf amesema hajawahi kuzungumza kitu chochote na wifi yake ambaye pia ni mwimbaji wa taarab, Leila Rashid kwa kipindi cha zaidi ya miaka minne.

Khadija (kushoto) akiwa na kaka yake Mzee Yusuph

 

Khadija ametoa nyeti hiyo alipokuwa kwenye kipindi cha FNL cha EATV, alipokuwa akifafanua kuhusu madongo anayotupiana na wifi yake huyo, ambapo ilikuwa ikidaiwa kuwa Khadija aliimba wimbo unaomlenga Leila ukimtaarifu kuwa talaka yake iko njiani.

"Sijaongea na Leila miaka mitano, mara ya mwisho nilimsalimia salam Aleykum, lakini hakuitikia, basi, tangu hapo sijaongea naye tena" Alisema Khadija huku akisisiza kuwa hana ugomvi wowote na Leila na kwamba wimbo aliouimba haukumlenga yeye.

Leila ni mke wa Mzee Yusuph kaka wa Khadija Yusuph na tangu Mzee alipotangaza kuacha muziki, pamekuwa na vita ya maneno kati ya mawifi hao, Leila na Khadija, huku kukishuhudiwa kundi la Jahazi Modern Taarab likisambaratika kwa kasi ya aina yake.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava