Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Panya Magawa yupo Single" - Pendo Msegu

Jumanne , 6th Oct , 2020

Mkufunzi wa Panya Magawa Pendo Msegu, amesema panya huyo yupo single na hatakiwi kuwa kwenye mahusiano kwa sababu anatakiwa afanye kazi ya kutegua mabomu na kuokoa maisha ya watu wengine.

Mkufunzi wa Panya Magawa Pendo Msegu

Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital Pendo Msegu amesema panya huyo yupo kikazi zaidi kwa sasa mpaka pale atakapostaafu, pia anaweza ukampatanisha na panya wa kike lakini wasikubaliane kuwa kwenye mahusiano.

"Panya Magawa yupo 'single' kwa sasa na yupo kikazi zaidi, hatuwezi kusema ameingia kwenye mahusiano kwa sababu anaishi pekee na anatakiwa aangalie zaidi kazi na kuokoa maisha ya watu, tumemuwekea mazingira ambayo hatakiwi kuwa na mwanamke maana atamchanganya" ameeleza Mkufunzi wa Panya Magawa Pendo Msegu

Aidha Mkufunzi huyo ameendelea kusema "Kuna panya maalum ambao wapo kwa ajili ya uzalishaji na tunawatambulisha kwamba huyu ndiyo mwenzake kama akikubali sawa maana anaweza kukataa, pia tutaona dalili za makubaliano yao na tukitaka kuwaweka kwenye mahusiano tunaangalia utofauti wa umri na mwili".

Panya Magawa ana umri wa miaka mitano ila mwezi Novemba atatimiza miaka 6, na kwa sasa yupo nchini Cambodia kwa ajili ya kufanya kazi.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava