Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyamwela ajivunia kiwango cha Dance 100% 2016

Ijumaa , 30th Sep , 2016

Jaji wa Shindano la Dance100% 2016 Super Nyamwela amesema anajivunia kuona kwamba vipaji ambavyo vimepatikana katika shindano la Dance100% mwaka huu ni vikubwa ambavyo vinaweza kuisaidia jamii katika mambo mengi.

Super Nyamwela

Nyamwela ameyasema hayo alipokuwa akitoa tathmini yake kuhusu shindano hilo ambalo limemalizika hivi karibuni Jijini Dar es salaam.

“Ukweli makundi mwaka huu yamejitahidi sana kufanya mambo makubwa ambapo kila kundi limeweza kujitiuma na kuonesha kwamba ndani ya jamii kuna vipaji vingi ambavyo vikipata nafasi ya kuonekana vinaweza kufanya vizuri katika jamii na kuendeleza sanaa ya uchezaji nchini” Amesema Nyamwela.

Kwa upande wake Jaji Khalila amesema muamko mdogo wa wadada katika shindano hilo utaimarika zaidi mwaka kesho kutokana na binti pekee aliyefika hatua ya fainali Kibibi kuonesha uwezo wa hali ya juu na kuonesha kwamba wadada wakijituma wanaweza kufika mbali katika sanaa ya uchezaji.

Fainali ya shindano la Dance100% ambalo limemalizika hivi karibuni itaoneshwa na EATV siku ya Jumapili hii saa moja usiku.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava