Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nitampenda Dully mpaka kufa kwangu - Alikiba

Jumatano , 14th Dec , 2016

Msanii wa bongo fleva Alikiba aliyeshinda tuzo tatu usiku wa EATV AWARD ikiwemo video bora ya mwaka, mwanamuziki bora wa mwaka na wimbo bora wa mwaka  ameshukuru kukutana na Dully na kusema hana tatizo nae na kwamba anampenda sana.

Dully Sykes (Katikati) akiwa na Alikiba (Kulia) wakifanyiwa mahojiano na Duwe wa eNewz

 

Akiongea ndani ya eNewz wakati wa tuzo hizo Kiba amesema "Dully ndyo sababu ya mimi kuwa Kiba kwani kila nilichokuwa nakiimba Dully alinisapoti na wakati mwingine  kilikuwa kinamtoa machozi na nisipofika kwa kina Dully alikuwa ananitafuta mpaka anipate na ukizingatia sikuwa na simu nitampenda Dully mpaka kufa kwangu" alisema Kiba.

Pia Dully hakusita kumuombea Kiba afike mbali na kupata mafanikio ili kufikisha muziki wetu mbali na amesema mambo yakiwa sawa mwakani atakuwa mmoja kati ya washiriki wa EATV AWARD na kusisitiza kwamba hana tatizo na Kiba.

Tazama hapa:- 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava