Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nimemnunulia Wema kiwanja, ila tunapeana lawama

Ijumaa , 19th Jul , 2019

Mbunifu wa mavazi hapa nchini Tanzania Martin Kadinda, ameeleza mengi ikiwemo kumnunulia kiwanja staa na muigizaji Wema Sepetu, na kile kinachoendelea kwa sasa kati yake ana Wema pamoja na Petitman Wakuache.

Wema Sepetu na Martin Kadinda

Martin Kadinda amefunguka hayo kupitia EATV & EA Radio Digital, baada ya kuulizwa kuhusu suala la ndoa na ujenzi kwa mtu wake wa karibu ambaye ni Wema Sepetu.

"Ni mtu wangu na ni familia yangu tumekaa kwa miaka 10, namshauri vitu vingi vingine anavifanya vingine anarudia, siwezi kumshauri aolewe yule ni mwanamke anatakiwa kufanya maamuzi mwenyewe, mimi nilimkabidhi Wema kiwanja kwenye sherehe ya kuzaliwa kwake mwaka 2015, kama amejenga au hajajenga hayo ni mambo yake binafsi".

Aidha mbunifu huyo wa mavazi amesema kwa sasa ukaribu wake na Wema Sepetu pamoja na  Petitman Wakuache, wameamua kuutoa kwenye vyombo vya habari kwa sababu mara nyingi wanabebeana lawama, anaweza akafanya jambo Wema akalaumiwa yeye, au akafanya Martin Kadinda akalaumiwa Wema.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava